Pata taarifa kuu
FIFA-FECOFOOT-DRC-SOKA

Fifa yawachukulia hatua viongozi 2 wa Fecofoot

Viongozi wawili wa Shirikisho la soka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamefungiwa kwa muda kushiriki katika shughuli za soka kwa kukeuka kanuni za Shirikisho la soka duniani Fifa.

Joseph Blatter, rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA).
Joseph Blatter, rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA). © Reuters
Matangazo ya kibiashara

Makamu wa rais wa Fecofoot Jean Guy Blaise Mayolas na Katibu Mkuu Badji Mombo Wantete hawaruhusiwi kushiriki katika maswala ya soka kitaifa na kimataifa.

FIFA inasema hatua hiyo imechukuliwa baada ya Ofisi ya uchunguzi ikiongozwa na Cornel Borbély, akitumia kanuni ya sheria za FIFA kifungo 83 sehemu ya 1.
Haijaelezwa ni kwanini viongozi hao wawili wamepigwa marufuku kushiriki katika maswala ya soka.

Wakati huo huo Shirikisho la soka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Fecofoot, limetangaza rasmi ratiba ya kuwania ubingwa wa taji la msimu huu la taifa “Congo cup” kuanzia juma lijalo.

Michuano 72 itachezwa katika miji ya Kinshasa, Lubumbashi na Bukavu.

Michuano ya kwanza itachezwa kuanzia tarehe 8 jijini Kinshasa, huku vilabu kutoka Kivu Kusini vikimenyana kuanzia tarehe 16.

Kutakuwa na makundi mawili katika michuani hii na watakaomaliza wa kwanza katika kila kundi watacheza mechi ya fainali mjini Lubumbashi.

Hii ndio ratiba kamili ya michuano hiyo :

Mjini Kinshasa

Kundi A / uwanja wa Tata Raphaël

Juni 8 mwaka 2015: AS Veti Club vs DCMP / Bumba , Renaissance FC vs AS Vutuka

Juni 10 mwaka 2015: DCMP / Bumba vs FC Renaissance , AS Vutuka Veti vs Club

Juni 15 mwaka 2015: AS Vutuka vs DCMP / Bumba , AS Veti vs FC Club Renaissance

Kundi B / uwanja wa Tata Raphaël

Juni 9 mwaka 2015: FC MK vs Shark XI FC

Juni 11 mwaka 2015: Shark XI FC vs DC Motema Pembe

Juni 16 mwaka 2015: DC Motema Pembe vs MK

Uwanja wa Bukavu

Kundi A /uwanja wa Concorde

Juni 10 mwaka 2015: Ndjadi vs. El Dorado , OC Bukavu Dawa Nyuki vs AS Vita

Juni 12 mwaka 2015: El Dorado vs OC Bukavu Dawa , Ndjadi Nyuki vs AS Vita

Juni 14 mwaka 2015: AS Nyuki vs El Dorado , vs OC Bukavu Dawa Ndjadi

Kundi B /Uwanja Concorde

Juni 11 mwaka 2015: AS Nika vs AS Capaco , AS Black Dolphins vs AS Makiso

Juni 13 mwaka 2015: Black Dolphins vs AS Capaco , AS Nika vs AS Makiso

Juni 15 mwaka 2015: AS Black Dolphins vs AS Nika (1:45 p.m.), AS Makiso vs Capaco

Mjini Lubumbashi

Kundi A / Uwanja wa TP Mazembe

Juni 10, mwaka 2015: KFA vs AS Saint Luke

Juni 12 mwaka 2015: US Kasai vs AS Saint Luc

Juni 14 mwaka 2015: US KFA vs Kasai

Kundi B / Uwanja wa Kibasa Maliba

Juni 9 mwaka 2015: US Lubumbashi Sport vs Tshinkunku , AS Bantu vs FC St. Eloi Lupopo , JS Group Bazano vs SM Sanga Balende

Juni 11 mwaka 2015: AS Bantu vs JS Bazano Group, Lubumbashi FC Sport vs SM Sanga Balende , US vs FC Saint Eloi Tshinkunku Lupopo , US Tshinkunku vs FC Saint Eloi Lupopo

Juni 13 mwaka 2015: AS Bantu vs FC Sport Lubumbashi , SM Sanga Balende vs US Tshinkunku , JS Group Bazano vs FC St. Eloi Lupopo

Juni 15 mwaka 2015: US Tshinkunku Bazano vs JS Group , AS Bantu vs SM Sanga Balende , FC Saint Eloi Lupopo vs Lubumbashi Sport

Juni 17 mwaka 2015: US Tshinkunku vs AS Bantu , JS Group Bazano Lubumbashi Sport vs FC , SM Sanga Balende vs FC St. Eloi Lupopo

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.