Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Ujerumani yatwaa kombe la dunia

Imechapishwa:

Juma hili katika Jukwaa la Michezo tunachambua fainali ya kombe la dunia katika mchezo wa soka kati ya Ujerumani na Argentina.Ungana na Victor Abuso, Emmanuel Makundi na Collins Liberty Adede kwa uchambuzi wa kina. 

Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe la dunia
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe la dunia fifa.com
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.