Wimbi la Siasa
Marekani na washirika wake wapania kuwadhibiti wapiganaji wa kijihadi Iraq na Syria
Imechapishwa:
Cheza - 10:06
Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa mpango wake mpya wa kukabiliana na wapiganaji wa kijihadi ulioidhinishwa na Bunge la Congress utasaidia kulisambaratisha kundi la Islamic State linaendeleza mashambulizi ya kigaidi katika nchi za Iraq na Syria. Ungana na Victor Robert Wile katika makala haya ya Wimbi la Siasa upate majibu ya maswali kuhusu suala hilo........