Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Mgogoro wa Syria waingia katika hatua nyingine baada ya maseneta wa Marekani kuridhia mashambulizi ya kijeshi

Imechapishwa:

Mgogoro wa Syria umeingia katika hatua nyingine baada ya maseneta wa Marekani kuridhia mashambulizi ya kijeshi huku Rais wa Marekani Barack Obama akiendelea kusaka uungwaji mkono ili kutekeleza jukumu la kuishambulia kijeshi Syria. Makala ya Wimbi la Siasa juma hili inapiga kambi kuangazia hali ya mambo nchini Syria na kujibu maswali mbalimbali yanayoibuka wakati huu dunia ikiwa imegawanyika juu ya suala la Syria.

Je, Waafrika wana ufahamu wowote kuhusiana na siasa za nchi zao?
Je, Waafrika wana ufahamu wowote kuhusiana na siasa za nchi zao? © RFI
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.