Wimbi la Siasa
Maafisa wa usalama nchini Ethiopia watekeleza visa vya uhalifi wa kivita
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Maafisa wa usalama nchini wametekeleza visa vya uhalifu wa kivita na ukiukwaji wa haki wa binadamu dhidi ya Watigray Kaskazini mwa nchi hiyo, kwa mujibu wa ripoti ya pamoja iliyotolewa na Mashirika mawili ya Kimataifa, Amnesty International na Human Rights Watch. Tunajadili hili.