Pata taarifa kuu
Sikiliza taarifa za habari zilizopita 15h00 - 16h00 TU

Serikali za Africa kuwasamehe waasi

Imechapishwa:

Serikali ya Ethiopia inasema iko tayari kutoa msamaha kwa viongozi wa makundi ya waasi nchini humo, ili kufanikisha amani ya kudumu .Haya yanajiri wakati masharika ya kiraia yakiendelea kushtumu serikali za Africa, zinazowasamehe viongozi wa makundi ya waasi ambao wamehusika na ukiukaji wa haki za binadamu.Je ni sahihi kwa serikali za Afrika kutoa msamaha kwa waasi?Haya hapa baadhi ya maoni yako?

Waliokuwa waasi wa Seleka katika mitaa wa Bangui, nchini Africa ya Kati,Disemba 5, 2013.
Waliokuwa waasi wa Seleka katika mitaa wa Bangui, nchini Africa ya Kati,Disemba 5, 2013. AFP PHOTO/ SIA KAMBOU
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.