Siha Njema
Kuzalishwa kwa Vyakula vya GMO nchini Kenya,watalam wakinzana
Imechapishwa:
Cheza - 10:08
Katika kujaribu kuimarisha usalama wa chakula nchini Kenya ,serikali iliondoa maarufuku ya uzalishaji na uagizaji wa vyakula vya GMO.
Matangazo ya kibiashara
Serikali ya Kenya miezi michache ,iliyopita iliidhinisha kuzalishwa na kuagizwa kwa vyakula vinavyozalisha kwa njia ya kisayansi ,GMO ,kuliziba pengo la uhaba wa chakula.Watalaam ,wasayansi wamekuwa wakilumbana kuhusu usalama wa vyakula hivyo na mahakama ya Kenya kwa sasa imeharamisha amri hiyo ya serikali.