Siha Njema
Watu wengi wanajikuta na magonjwa ya figo na ini,watoto wengi Sudan wakiaga
Imechapishwa:
Cheza - 10:09
Kuna ongezeko la magonjwa ya figo na ini kwa mujibu wa shirika la afya duniani
Matangazo ya kibiashara
WHO inabashiri kuwa ongezeko hilo litakuwa juu zaidi kufikia mwaka 2030 ,hali hii ikichangiwa na hali ya maisha haswa ya raia katika nchi zinazoendelea
Ugonjwa wa ini maarufu Hepatitis pia ni tishio kubwa haswa kwa raia wa Afrika ambayo inachangia asilimia 63 ya visa vya Hepatatis
Nchini Sudan watoto wengi haswa walio chini ya umri wa miaka mitano wanazidi kupoteza maisha kutokana na utapiamlo unaohusishwa na ukosefu msaada wa kibinadaam wakati huu vita vikiendelea kurindima