Pata taarifa kuu
Siha Njema

Mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi nchini Kenya wakati wa janga la Corona

Imechapishwa:

Baraza linaloongoza mapambano dhidi ya Ukimwi nchini Kenya ,National Aids Control Control Council, limesema Kenya imeripoti mambukizi mapya zaidi ya elfu 41 mwaka wa 2021, hii ikikuja wakati wanaharakati wa kupambana na Ukimwi wakihofia mvutano kati ya serikali na wafadhili, ambao umesababisha uhaba wa dawa za ARVS na kondomu unatishia pakubwa mapambano hayo.

Tangu mwaka  2019,  watu 38,000,000 wanaishi na virusi vya HIV kwa mujibu wa shirika la afya duniani,WHO, (OMS).
Tangu mwaka 2019, watu 38,000,000 wanaishi na virusi vya HIV kwa mujibu wa shirika la afya duniani,WHO, (OMS). © Shutterstock / Kuboo
Vipindi vingine
  • 10:25
  • 10:09
  • 09:55
  • 09:59
  • 10:23
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.