Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Rais wa DRC F.Tshisekedi kudumisha amani na jirani zake, mazishi ya mwanariadha Kiptum

Imechapishwa:

Makala hii imeangazia kuzorota kwa hali ya usalama pembezoni mwa mji wa Sake DRC,na kauli za rais Felix Tshisekedi mbele ya wanahabari wiki jijini Kinshasa, maandamano ya chama cha upinzani cha Chadema nchini Tanzania kule Mbeya, mazishi ya mwanariadha wa Kenya aliyekuwa anashikilia rekodi ya dunia katika mbio za marathon Kelvin Kiptum, yaliyojiri nchini Rwanda, na pia kwenye kanda ya Afrika magharibi lakini pia hali ya Israeli na kwengineko duniani.

Maandamano mjini Goma, DR Congo, Jumapili  ya Februari 19, 2024, kulaani uungaji mkono wa madola ya Magharibi kwa Rwanda, inayounga mkono waasi wa M23.
Maandamano mjini Goma, DR Congo, Jumapili ya Februari 19, 2024, kulaani uungaji mkono wa madola ya Magharibi kwa Rwanda, inayounga mkono waasi wa M23. AFP - GUERCHOM NDEBO
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.