Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Bunge la Angola laidhinisha kupelekwa kwa wanajeshi DRC, maandamano nchini Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 20:14
Miakala hii imeangazia hatua ya bunge la Angola kuidhinisha kutumwa kwa wanajeshi 500 wa nchi hiyo mashariki mwa DRC, hali ya wasiwasi nchini Kenya, kufuatia wito wamaandamano kupinga ugumu wa maisha kama ulivyoitishwa na kinara wa upinzani wa Azimio Raila Odinga, watu zaidi ya 300 wauawa na kuwaacha maelfu bila makaazi katika kimbunga Freddy kule Malawi, kesi ya mwanasiasa wa upinzani Ousmane sonko kule Senegal, mvutano kuhusu suala la mageuzi ya pensheni nchini Ufaransa, ni miongoni mwa mengi utakayoyasikia.Ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka kupata mengi zaidi.