Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Mkutano wa EAC kuhusu DRC, Commonwealth Kigali, na siasa za Ufaransa
Imechapishwa:
Cheza - 20:15
Makala hii imeangazia mkutano wa viongozi wa Afrika mashariki jijini Nairobi wakijadili hali ya usalama wa eneo la mashariki ya DRC, kongamano la kimataifa la jumuia ya madola/Commonwealth jijini Kigali nchini Rwanda, watu zaidi ya 100 waliuawa na wanajihadi huko Mali, na huko Ufaransa chama cha Rais Emmanuel Macron kilipata pigo kubwa kwa kukosa ushindi katika uchaguzi wa wabunge nchini humo.Kupata mengi zaidi, ungana na mwandishi wetu Reuben Lukumbuka