Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Wahamiaji haramu walioko ulaya kuhamishiwa nchini Rwanda, M23 kuaachia mateka wa FARDC
Imechapishwa:
Cheza - 20:07
Makala ya wiki hii imeangazia mambo mbali mbali ikiwemo makubaliano kati ya Rwanda na Uingereza kuhusu kuwahamisha wahamiaji haramu walioko Ulaya hadi nchini Rwanda, wapiganaji waasi wa M23 waahidi kuwaachia huru wanajeshi watatu wa jeshi la serikali waliotekwa nyara wakati wa mapigano huko Rutshuru mashariki ya DRC, na matukio mengine kwenye mataifa kadhaa ya ulimwengu. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka kusikiliza zaidi.