Pata taarifa kuu
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Maandamano nchini Sudan, mauaji DRC na kirusi kipya chatokea afrika kusini

Imechapishwa:

Makala hii imeangazia maandamano yanayoendelea kushuhudiwa nchini Sudan ambako wananchi pamoja na wawakilishi wa asasi za kiraia wamepinga makubaliano kati ya waziri mkuu Abdallah Hamdok na utawala wa kijeshi nchini humo, huko DRC miili ya watu 20 yaligundulika huko Ituri, kimataifa Uingereza na mataifa ya dunia yapiga marufuku safari za ndege kutoka mataifa ya Afrika na sasa Shirika la afya duniani (WHO) limetangaza aina mpya ya kirusi cha corona kuwa "ya kutia hofu" na kuipatia jina Omicron...Ni miongoni mwa mengi yaliyoangaziwa.

Waziri mkuu wa Sudan, Abdalá Hamdok akiwa katika kizuizi cha nyumbani November 21 2021
Waziri mkuu wa Sudan, Abdalá Hamdok akiwa katika kizuizi cha nyumbani November 21 2021 - AFP
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.