Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Afrika Mashariki kuwa wenyeji wa AFCON 2024

Imechapishwa:

Miongoni mwa tuliyokuandalia ni pamoja na Afrika Mashariki kuteuliwa kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika ya mwaka 2027, hatua ya mwisho ya kufuzu Kombe la Mataifa ya wanawake mwaka 2024, raundi ya mwisho kufuzu hatua ya makundi michuano ya klabu bingwa barani Afrika na Kombe la dunia la raga, linaloendelea nchini Ufaransa.

Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika CAF  Patrice Motsepe akitangaza ushindi wa Kenya, Uganda na Tanzania kuwa mwenyeji wa michuano ya AFCON 2027
Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika CAF Patrice Motsepe akitangaza ushindi wa Kenya, Uganda na Tanzania kuwa mwenyeji wa michuano ya AFCON 2027 © Courtesy of CAF
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.