Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Klabu za Afrika zachuana kunyakuwa taji la klabu bingwa

Imechapishwa:

Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na mahojiano kuhusu kongamano la kibiashara la soka barani Afrika, lililofanyika wiki hii jijini Nairobi. Misri waibuka washindi wa kombe la mataifa ya Afrika voliboli ya wanaume, APR ya Rwanda yashinda ubingwa wa ligi kuu ya basketboli, uchambuzi wa mechi za kufuzu klabu bingwa barani Afrika na kombe la dunia la raga. 

Klabu bingwa barani Afrika
Klabu bingwa barani Afrika © REUTERS/Amr Abdallah Dalsh
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.