Jukwaa la Michezo
Kombe la dunia la mchezo wa raga, laanza nchini Ufaransa
Imechapishwa:
Cheza - 23:49
Tuliyokuandalia ni pamoja na kuanza kwa Kombe la Dunia katika mchezo wa raga nchini Ufaransa, Tanzania kufuzu Kombe la mataifa ya Afrika mchezo wa soka mwaka 2023 na Rwanda yaondolewa kwenye mashindano ya voliboli barani Afrika.