Jukwaa la Michezo
Morocco mabingwa wa taji la vijana wasiozidi miaka 23 Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 23:37
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na Morocco kushinda ubingwa wa kombe la Mataifa ya Afrika U23, timu ya soka ya wanawake ya Afrika Kusini Banyana Banyana yafanya uamuzi wa kuelekea Newzealand kwa ajili ya michuano ya Kombe la dunia baada ya kusuluhisha mzozo wa malipo.