Jukwaa la Michezo
Wanariadha wajipima nguvu katika mashindano ya Diamond League
Imechapishwa:
Cheza - 23:53
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na matokeo na uchambuzi mashindano ya riadha ya Diamond League, kombe la mataifa ya Afrika kwa wachezaji wasiozidi miaka 17 na maendeleo ya ligi kuu za soka katika nchi za Afrika Mashariki na Kati.