Jukwaa la Michezo
Simba SC yaondolewa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika
Imechapishwa:
Cheza - 23:51
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na kuanza kwa kombe la mataifa ya Afrika CHAN kwa vijana wasiozidi miaka 17, Simba kuondolewa kwenye mashindano ya CAF, Kenya yashinda Kombe la dunia katika mchezo wa wavu na uchambuzi wa mataifa ya Kenya, Uganda na Tanzania kuomba kuwa wenyeji wa michuano ya AFCON 2027.