Jukwaa la Michezo
Mechi za robo fainali klabu bingwa Afrika zashika kasi
Imechapishwa:
Cheza - 23:55
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na shirikisho la soka nchini Kenya FKF limeitaka bunge la Kenya kutunga sheria dhidi ya wapangaji mechi, uchambuzi wa mechi za robo fainali mashindano ya vilabu bingwa barani Afrika, matokeo ya riadha wiki hii na tuzo ya RFI na France 24 kuhusu mchezaji wa zamani wa Cameroon Marc Vivien Foe.