Jukwaa la Michezo
Ripoti kuhusu hali ya wanamichezo wanaotumia dawa zilizozuiwa, yatolewa Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 23:24
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na Kenya kutoa ripoti ya kupambana na visa vya dawa zilizopigwa marufuku za kusisimua misuli kwa wanamichezo na hali ya michuano ya soka, kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika na ile ya kufuzu kwa AFCON 2024.