Jukwaa la Michezo
Watu watatu wakamatwa nchini Kenya kwa madai ya kupanga michuano ya soka
Imechapishwa:
Cheza - 23:54
Miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na watu watatu, wawili raia wa kigeni, wakamatwa nchini Kenya kwa tuhuma za upangaji mechi za ligi kuu ya soka nchini humo. Utasikia pia kuhusu fainali ya kombe la Afrika kwa wachezaji wasiozidi miaka 20 na matokeo ya mashindano ya mchezo wa gofu ya Magical Kenya Open.