Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Mashindano ya Tour du Rwanda yawakutanisha magwiji wa kukimbiza baiskeli

Imechapishwa:

Mashindano ya mwaka 2023 ya kukimbiza Baiskeli ya Tour du Rwanda, yanaanza siku ya Jumapili jijini Kigali, na kuwavutia magwiji wa mchezo huo  kama Chris Froome raia wa Kenya na Uingereza. Tutakuletea pia mashindano ya soka, kuwania taji la klabu bingwa Afrika.

Mashindano yaliyopita ya Tour du Rwanda
Mashindano yaliyopita ya Tour du Rwanda © RFI/Thomas de Saint-Léger
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.