Jukwaa la Michezo
Mashindano ya Tour du Rwanda yawakutanisha magwiji wa kukimbiza baiskeli
Imechapishwa:
Cheza - 24:00
Mashindano ya mwaka 2023 ya kukimbiza Baiskeli ya Tour du Rwanda, yanaanza siku ya Jumapili jijini Kigali, na kuwavutia magwiji wa mchezo huo kama Chris Froome raia wa Kenya na Uingereza. Tutakuletea pia mashindano ya soka, kuwania taji la klabu bingwa Afrika.