Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Aryna Sabalenka ashinda taji la Australian Open 2023

Imechapishwa:

Aryna Sabalenka kutoka Belarus ndio mshindi wa taji la Australian Open katika mchezo wa Tennis, baada ya kumshinda Elena Rybakina kutoka Kazakhstan kwa seti, 6-4 ,3-6 na 6-4, katika fainali iliyochezwa siku ya Jumamosi katika mji wa pwani wa Melbourne. Tunachambua hili na mengine mengi.

Aryna Sabalenka mshindi wa mashindano ya Australian Open 2023
Aryna Sabalenka mshindi wa mashindano ya Australian Open 2023 AP - Aaron Favila
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.