Jukwaa la Michezo
Nani atashinda kombe la dunia, kati ya Ufaransa na Argentina ?
Imechapishwa:
Cheza - 23:52
Mabingwa watetezi wa kombe la dunia, Ufaransa, watachuana na Argentina katika mchuano wa fainali kuwania taji la kombe la dunia, siku ya Jumapili, Desemba 18 2022. Je, nani atashinda ?