Jukwaa la Michezo
Sadio Mane, ajumuishwa kwenye kikosi cha Senegal licha ya kuwa na jeraha
Imechapishwa:
Cheza - 23:58
Makocha wameanza kutangaza vikosi vya mataifa 32, yatakayoshiriki kwenye michuano ya kombe la dunia, kuanzia Novemba 20 nchini Qatar. Mshambuliaji wa Senegal Sadio Mane, amejumuishwa katika kikosi cha mwisho, licha ya kuwa na jeraha. Tunachambua hili kwa kina na mengine mengi.