Jukwaa la Michezo
CAF klabu bingwa: Timu mbalimbali zasaka fursa za kufika hatua ya makundi
Imechapishwa:
Cheza - 23:48
Klabu za soka barani Afrika, zinachuana katika michuano ya kufuzu katika hatua ya makundi kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho barani.Tunajadili hili na mengine mengi.