Jukwaa la Michezo
Ligi ya soka nchini Uingereza yasitishwa baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II
Imechapishwa:
Cheza - 23:49
Leo, tunakuletea uchambuzi wa kuahirishwa kwa michuano ya ligi kuu ya soka nchini Uingereza, baada ya kifo cha Malkia Elizabeth wa pili. Nchini Kenya, Nick Mwendwa asema amerejea ofisini kama rais wa Shirikisho la soka nchini humo.