Jukwaa la Michezo
Michuano ya CECAFA kwa wanawake yaendelea kushika kasi nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 20:32
Miongoni mwa matukio tunayojadili leo viwanjani ni pamoja na tumezungumzia Simba Queens ya Tanzania kufuzu nusu fainali ya mashindano ya CECAFA, Ali Amour, msimamizi wa vilabu kwenye kamati ya mpito nchini Kenya ameelezea mipango waliyo nayo kabla ya msimu kuanza Agosti 27. Mkufunzi wa timu ya taifa ya raga ya Kenya wachezaji saba kila upande ataja kikosi cha Kenya.