Jukwaa la Michezo
Michezo ya Jumuiya ya Madola yapamba moto, ligi kuu za soka barani Ulaya zaanza
Imechapishwa:
Cheza - 24:00
Bingwa wa mbio za mita ya 100 Mkenya Ferdinard Omanyala, ndio bingwa wa michezo ya Jumuiya ya Madola. Tunaangazia michezo hayo na mengine mengi yanayotokea viwanjani.