Jukwaa la Michezo
Fainali ya UEFA: Je, itakuwa Liverpool au Real Madrid ?
Imechapishwa:
Cheza - 23:48
Klabu ya Liverpool ya Uingereza na Real Madrid ya Hispania, zinachuana katika fainali ya mwaka huu kunyakua taji la klabu bingwa barani Ulaya. Je, nani ataibuka bingwa ?