Jukwaa la Michezo
Vipers yashinda taji la ligi kuu ya soka nchini Uganda
Imechapishwa:
Cheza - 24:00
Klabu ya Vipers Sports Club, imetangazwa mabingwa wa ligi kuu ya soka. Wakati uo huo, maandalizi yameanza kuelekea mashindanio ya riadha ya bara Afrika.