Jukwaa la Michezo
Drogba ajitosa kuwania urais wa Shirikisho la soka nchini Cote D'voire
Imechapishwa:
Cheza - 23:53
Aliyekuwa mshambuliaji wa timu ya taifa ya soka ya Cote D'voire Didier Drogba, ni miongoni mwa wagombe sita wanaotafuta nafasi ya kuwania urais wa Shirikisho la soka nchini mwake. Tunachambua hili na mengine mengi.