Jukwaa la Michezo
Mataifa ya Afrika yaanza safari ya mwisho kufuzu michuano ya kombe la dunia
Imechapishwa:
Cheza - 23:45
Mataifa ya Afrika yameingia kwenye hatua ya mwisho kusaka timu tano bora, zitakazofuzu kucheza fainali ya kombe la dunia nchini Qatar kati ya mwezi Novemba-Desemba mwaka 2022.