Jukwaa la Michezo
Michuano ya AFCON yaendelea kushika kasi nchini Cameroon
Imechapishwa:
Cheza - 23:55
Mataifa 24 yanaeendelea kupambana nchini Cameroon kutafuta ubingwa soka barani Afrika. Mchezaji bora wa mchezo wa Tennis duniani kwa upande wa wanaume, Mserbia Novak Djokovic amefutiwa tena kibali cha kuingia nchini Australia. Tunachambua.