Jukwaa la Michezo
Soka Afrika: Hatimaye michuano ya AFCON kuanza nchini Cameroon
Imechapishwa:
Cheza - 23:54
Maandalizi yamekamilika kuelekea michuano ya soka kwa mataifa ya Afrika nchini Cameroon, iliyoahirishwa kutoka mwaka 2021 kwa sababu ya janga la Covid 19.