Jukwaa la Michezo
Michuano ya AFCON kuendelea kama ilivyopangwa kuanzi Juanuari 9, 2022
Imechapishwa:
Cheza - 23:51
Heri ya Krismasi hapo ulipo, miongoni mwa yale tuliyokuandalia ni pamoja na kauli ya rais wa Shirikisho la soka barani Afrika CAF Patrice Motsepe ambaye amesema michuano ya kusaka ubingwa wa Afrika, itaendelea kama ilivyopagwa nchini Cameroon kuanzia Januari 9, 2022.