Jukwaa la Michezo
Rais wa zamani wa Shirikisho la riadha duniani IAAF Lamine Diack afariki dunia
Imechapishwa:
Cheza - 23:53
Miongoni mwa yale tunayoangazia ni pamoja na:--Mzunguko wa pili wa michuano ya Shirikisho barani Afrika-Michuano ya soka kwa wanawake wasiozidi miaka 20 Afrika kufuzu kombe la dunia mwaka 2022.-Rais wa zamani wa Shirikisho la mchezo wa riadha duniani Lamine Diack afariki dunia na mshambuliaji wa Argentina na PSG Lionel Messi ashinda taji la saba la Ballon d'or.