Pata taarifa kuu
Jukwaa la Michezo

Kamati kuu ya Shirikisho la soka barani Afrika yakutana jijini Kigali

Imechapishwa:

Michuano ya mchezo wa soka, hatua ya robo fainali, kuwania taji la klabu bingwa barani Afrika zinachezwa katika mataifa mbalimbali barani Afrika. Tunajadili hili na matukio mengine yanatokea viwanjani wikiendi na wiki hii.

Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika  Patrice Motsepe.
Rais wa Shirikisho la soka barani Afrika Patrice Motsepe. AP - Themba Hadebe
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.