Gurudumu la Uchumi
Afrika na harakati ya kupunguza gharama ya usafiri wa anga, biashara
Imechapishwa:
Cheza - 09:43
Juma lililopita jiji la Nairobi, lilikuwa mwenyeji wa mkutano wa viongozi na wataalamu kutoka umoja wa Afrika na jumuiya nyingine za kikanda zaidi ya nane, ambapo walijadiliana na kukubaliana kwamba, mataifa ya Afrika lazima yatoe motisha kwa uwekezaji wa kibiashara hasa kwenye kilimo, uchumi wa buluu na mazingira ili kupunguza gharama kwa bidhaa za chakula ambazo zinaendelea kuongezeka barani Afrika.