Wimbi la Siasa
Kundi la waasi wa M23 latangaza kusitisha uasi wake nchini DRCongo
Imechapishwa:
Cheza - 09:58
Katika Wimbi la Siasa juma hili tunaangazia hatua ya waasi wa kundi la M23 mashariki mwa nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kutangaza kusitisha uasi wake baada ya ngome zao kudhibitiwa na majeshi ya serikali ya Kinshasa yanayoungwa mkono na vikosi vya Umoja wa Mataifa.