Wimbi la Siasa
Hali ya Siasa nchini DR Congo kubwa likiwa ni mazungumzoya amani yanayoendelea Kampala baina ya Serikali na Waasi wa M23
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Wadau wameendelea kuguswa na mazungumzo yanayosuasua huko Kampala nchini Uganda baina ya Kundi la Waasi la M23 na Ujumbe wa Serikali ya Kinshasa huku wakiamini kwenye mwendo huo wa kinyonga suluhu inaweza isifikiwe!! Wadau wengi wanaamini kusuasua kwa mazungumzo hayo kumechangia kuendelea kushuhudiwa kwa machafuko katika eneo la Mashariki mwa DRC!!