Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Misri

Imechapishwa:

Makala ya Wimbi la Siasa inaangazia juu ya Ghasia zinazoendelea nchini Misri, zilizosababisha Mamia ya Raia kupoteza maisha baada kushambuliwa na Vikosi vya usalama wakati Waandamanaji walipokuwa wamepiga kambi jijini Cairo.Je, haya yanaashiria nini?

Waandamanaji wakiwarushia mawe Askari wa usalama nchini Misri
Waandamanaji wakiwarushia mawe Askari wa usalama nchini Misri Reuters/Asmaa Waguih
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.