Wimbi la Siasa
Mapendekezo ya rasimu ya katiba nchini Tanzania yazua maswali mengine baada ya kuonekana yanaweza yakachangia mabadiliko ya mfumo
Imechapishwa:
Cheza - 10:02
Wananchi wa Tanzania wameendelea kupitia na kusoma rasimu ya katiba iliyotolewa jumatatu hii na Tume ya Mabadiliko ya Katiba huku masuala ya haki za binadamu, serikali tatu na kuundwa kwa mahakama ya juu yamezua maswali mengine miongoni ma wananchi!!