Pata taarifa kuu
Wimbi la Siasa

Mapendekezo ya rasimu ya katiba nchini Tanzania yazua maswali mengine baada ya kuonekana yanaweza yakachangia mabadiliko ya mfumo

Imechapishwa:

Wananchi wa Tanzania wameendelea kupitia na kusoma rasimu ya katiba iliyotolewa jumatatu hii na Tume ya Mabadiliko ya Katiba huku masuala ya haki za binadamu, serikali tatu na kuundwa kwa mahakama ya juu yamezua maswali mengine miongoni ma wananchi!!

Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Mohamed Gharib Bilal akionesha rasimu ya katiba mpya akiwa na Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Joseph Sinde Warioba
Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Mohamed Gharib Bilal akionesha rasimu ya katiba mpya akiwa na Waziri Mkuu Mizengo Kayanza Peter Pinda na Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Joseph Sinde Warioba
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.