Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Sudan Kusini yatangaza kuondoa Majeshi yake Heglig huku wananchi wa Ufaransa wakipiga kura kuchagua rais
Imechapishwa:
Cheza - 19:46
Makala ya Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii yatakupa nafasi ya wewe msikilizaji kuja mambo yaliyogonga vichwa ikiwemo ni pamoja na mapigano kati ya Sudan na Sudan Kusini, Waangalizi wa Umoja wa Mataifa UN wapo nchini Syria, mashambulizi ya Kundi la Taliban yazua hofu nchini Afghanistan, majaribio ya makombora ya masafa marefu yafanyika na tutamalizia na uchaguzi wa urais nchini Ufaransa.