Wimbi la Siasa
Katiba inayopendekezwa yakabidhiwa kwa marais nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 09:58
Bunge Maalum la Katiba hivi karibuni liliwasilisha kwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Dk. Ali Mohmed Shein baada ya kukamilisha kazi yake mjini Dodoma. Fuatilia Makala ya Wimbi la Siasa na mtayarishaji na mtangazaji wako Victor Robert Wile......