Pata taarifa kuu
SCOTLAND-Michezo

Michezo ya Jumuiya ya Madola

Mji wa Glasgow nchini Scotland ulikuwa mwenyeji michezo ya Jumuiya ya Madola, iliyowaleta pamoja zaidi ya wanamichezo elfu nne kutoka Mataifa 71, walioshirki katika michezo 18.

Zaidi ya wanamichezo elfu nne kutoka Mataifa 71, walishirki katika michezo 18 mjini Glasgow, nchini Scotland..
Zaidi ya wanamichezo elfu nne kutoka Mataifa 71, walishirki katika michezo 18 mjini Glasgow, nchini Scotland.. Reuters
Matangazo ya kibiashara

Michezo hiyo ilifanyika kati ya mwezi Julai na Agosti, na kufunguliwa rasmi na Malkia wa Uingereza Elizabeth wa pili.

Mataifa ya Afrika Mashariki yaliyoshiriki katika michezo hiyo ni pamoja na Rwanda, Tanzania, Uganda na Kenya.

Uingereza ilimaliza ya kwanza ikiwa na medali 174, ikifuatwa na Australia na Canada.

Afrika Kusini ilimaliza ya saba na kuongoza barani Afrika, ikifuatwa na Nigeria huku kenya ikimaliza ya tisa duniani na ya tatu barani Afrika ikiwa na medali 25, zikiwemo 10 za dhahabu.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.