UFILIPINO- UHURU WA WANAHABARI
Ufilipino: Mwanahabari maarufu Maria Ressa afutiwa mashtaka
Mwanahabari na mwandishi maarufu kutoka nchini Ufilipino Maria Ressa ambaye amewahi kushinda tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2021, amefutiwa mashtaka ya ukwepaji wa kulipa kodi.
Imechapishwa:
Cheza - 00:15
Matangazo ya kibiashara
Ressa, anayemimiki tovuti ya Rappler, amekuwa akidai kuwa, mashtaka dhidi yake yalichochewa kisiasa na yalilenga kumnyamazisha.
Baada ya kufutiwa mashtaka, alikuwa na kauli hii.
“Hatua hii ya kufutiwa mashtaka sio tu ushindi wangu ila ni kwa kila raia yeyote wa Ufilipino.”amesema Maria Ressa.
Mwanahabari na mwandishi maarufu kutoka nchini Ufilipino Maria Ressa, na mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel mwaka 2021.