Emmanuel Macron apokelewa na rais wa Misri Abdel Fattah al-Sissi
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anaendelea na ziara yake nchini Misri. uchumi na biashara ni miongoni mwa masuala muhimu yaliyopewa kipaumbele katika mazungumzo kati ya Abdel Fattah al-Sissi na rais wa Ufaransa.
Imechapishwa:
Emmanuel Macron amepokelewa katika ikulu ya Cairo, Jumatatu hii Januari 28.
Ujumbe wa Ufaransa unaundwa na matajiri zaidi ya hamsini na mikataba thelathini inatarajiwa kuwekwa saini kwa "mamilioni ya fedha," kulingana na ofisi ya rais wa Ufaransa.
Emmanuel Macron pia aameahidi kuzungumzia "wazi zaidi"kuhusu suala la haki za binadamu.
Mizinga ishirini na moja ilifyatuliwa baada ya Emmanuel Macron katikao ofisi ya raiskwa mujibu wa mwandishi wetu. Cairo, Valérie Gas.